ALFA MICROCREDIT
KAMPUNI NAMBA MOJA YA UTOAJI WA HUDUMA ZA MIKOPO
Tunatoa huduma za kifedha, hususani mikopo kwa watumishi wa serikali nchi nzima kupitia mfumo wa ESS, tupigie 0672437470 kwa msaada zaidi.
Kuwa kampuni namba moja kwa ubora wa huduma za mikopo na kifedha
Kutoa mikopo yenye tija kwa watu wote.
Ewe mfanyakazi wa serikali, huna haja ya kufika ofisini. Tunahudumia nchi nzima, ingia kwenye ESS akaunti yako, bonyeza E-MIKOPO, kisha bonyeza LOANS, kwa mteja mpya chagua LOANS PRODUCT CATALOGs kisha search ALFA MICROCREDIT. Pia tunatoa huduma za LOAN TOPUP, LOAN RESTRUCTURING, LOAN TAKEOVER...tuchague au piga 0672437470 kama unakwama Tukukwamue.
Mikopo maalumu yenye riba nafuu na ya haraka kwa Vikundi na Wajasiriamali. Elimu hutolewa kabla ya mkopo, tunazingatia mkataba na makubaliano. Ili kupata mkopo kwa mfanyabiashara fika Tawi lililokaribu nawe.
Sisi ni Kampuni bora na namba moja inayotoa huduma za kifedha hususani mikopo kwa wafanyakazi, wafanyabiashara na vikundi vya kijamii
Tumeweza kuwafikia maelefu ya watu na kubadilisha maisha yao. Tumewezesha wanafunzi kumaliza masomo. Tumewezesha wagonjwa kupata matibabu.
Mikopo iliyotolewa
Wateja waliofikiwa
Ewe mwanachama karibu Same, Kilimanjaro Makao makuu ya kampuni Tarehe 29.12.2026
Elimu kwa mteja na ufuatiliaji wa marejesho kwa kuzingatia mkataba.
Kampuni yenye uwezo, uzoefu na ujuzi wa kutoa mikopo kwa ufanisi ndani ya masaa 24 kupitia ESS na E-BANK
Kampuni imesajiliwa TRA kwa TIN Na. 175-087-710, Brela Reg Na. 175087710 kampuni inaleseni ya BOT Na. MSP2-Q79 na BRELA leseni Na. 20000200995